Timu ya Taifa ya Zanzibar maarufu 'Zanzibar Heroes' inatarajiwa kucheza mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda.
Mchezo huo ambao upo katika kalenda ya FIFA, utapigwa Alhamisi, Juni 11 uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar, saa 11 jioni.
Hiki hapa kikosi kilichoitwa;




